Monday, July 9, 2012

WEMA, WOLPER WALIVYOPAMBA USIKU WA MATUMAINI


Wolper akiingia uwanjani kwa ajili ya pambano na Wema
Wema naye akiingia uwanjani kwa makeke
Mpambano ukaanza
Baada ya pambano wakakumbatiana kama ishara ya kuonyesha watu kuwa hamna Bifu kati yao na mwisho tukatangaziwa matokeo kuwa wametoka droo hamna aliyeshinda
Mpambano kati ya Cheka na Kaseba haukufanyika kwa sababu Cheka alikataa kupigana kwa madai kwamba anayetaka kupigana nae hana kiwango cha kupigana na yeye
Umati wa watu waliojitokeza kwenye Tamasha hilo amablo liliandaliwa kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wasichana vijijini.
Tukishow Luv Kutoka kushoto ni mimi(Kijah), Millard Ayo, Maulid Kambaya, Patrick Nyembera na Thabit Zakaria, Picha kwa hisani ya Millardayo.com

No comments:

Post a Comment