Friday, June 22, 2012

HUU NI ZAIDI YA UNYAMA

Mtoto huyu amekutwa ametupwa akiwa amefariki huko maeneo ya msikiti wa Soweto jijini Mbeya leo Asubuhi!! Tunaomba Radhi kwa picha mtakazoziona.
Picha hizo mbili zinamuonyesha mtoto huyo ambaye hakuweza kufahamika jina lake wala mama yake, akiwa ametolewa kwenye mfuko wa Salfet aliokuwa amehifadhiwa na kutupwa, hiyo khanga ni kutoka kwa msamaria mwema
Baadhi ya watu waliofurika kushuhudia tukio hilo la kinyama... Zaidi zama hapa

No comments:

Post a Comment