Thursday, January 26, 2012

I AM BACK

Kwanza kabisa naomba niwatakie Kheri ya mwaka mpya 2012 wadau wote popote mlipo, naamini kuwa sijachelewa sana coz ndo kwanza bado tuko January... Kubwa zaidi naomba mniwie Radhi wale wote ambao mlitembelea Blog hii na kukuta hamna jipya kwa takribani mwezi mmoja sasa, hii ilitokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu, lakini kwa uwezo wa Mungu kuanzia leo tutaendelea kuhabarishana kama kawa kama dawa hivyo endelea kutembelea Blog hii bila kuchoka!!!! Ahsante na karibu sana.

No comments:

Post a Comment