Monday, January 30, 2012

BATA LA WEEKEND @SAVANNAH LOUNGE

Baada ya mambo meengi ya mchana kutwa nikasema inabidi sasa kurefresh Mind, sehemu sahihi kwangu ilikuwa ni Savannah Lounge Quality Centre pamoja na kampan yangu kubwa  Andrew, huyu jamaa ndo rafiki yangu mkubwa na ndo huwa natoka nae mara zote
Hapo kikapigwa kitu cha Facebook nikaanza kuimba mwenyewe
Huyu jamaa cjui anawaza nn maana anaonekana yuko mbaaaliii
Jamaa nahisi anahakikisha kama hiyo ni kweli Windhoek
Muda wa kucheza ukafika, mimi na Glory a.k.a pacha maana kuna watu walituambia tunafanana ikabidi nianze kumuita pacha bt mmh cna hakika maana mwenzangu kafungasha mashaallah
Ma boy Andy nae akiyarudi
Andy na Ally
Kijah na Ally
One luv
Balaa inakuja pale unapokuwa umechoka unatamani ukapumzike halafu mwenzako ndo kwanza mzuka umepanda, matokeo yake huwa kama hivi, unaganda kwnye gari weee.... Mwisho wa siku wote tulienjoy kiukweli na Weekend ilikuwa pouwah


No comments:

Post a Comment