Monday, January 30, 2012

DAR LIVE PART II

Ukiingia tu Dar Live mbele yako unakutana na hili jengo, kama hupendi kukaa chini basi wapanda zako huko unakula upepo mwanana kabisa

Hii nayo ni moja kati ya vivutio vilivyopo Dar Live
Unapoingia tu maeneo ya mlangoni kabisa unakutana na warembo ambao hiyo unayoiona ndo kazi yao
Hapo dogo tayari ameshafanyiwa Makeup na watoto wanaenjoy wenyewe gharama yake ni buku tu(Tshs 1000)
Hii ndiyo Stage sasa na pia kuna Projector tatu kama unavyoziona
Nilikuwa na mdogo wangu wa mwisho pia, anaitwa Rahma

Hii sehemu watu wengi sana inawavutia niliona watu wengi sana hasa wadada wakipiga katika eneo hilo
Mmoja kati ya marafiki zangu wa karibu sana anaitwa Salma a.k.a Diva wa ukweliiii
Kuna mambo mengi sana ya kufurahia pande hizo za Dar Live hasa kwa watoto, michezo mbalimbali kama unavyoona kwenye picha
Kitu cha Dar Live hichoooooooo, dogo akishuka kwenye ndege na huo ndiyo mwisho wa safari yetu kutoka  Dar Live Mbagalaaaaaaa



No comments:

Post a Comment