Monday, December 12, 2011

SEUN KUTI NDANI YA TAMASHA LA AFROBEAT EXPLOSION

Mwanamuziki Seun kuti pamoja na kundi lake liitwalo Egypt 80 Band wanatarajia kufanya onesho katika Tamasha la Afrobeat Explosion Jumamosi ya Tar 24 Dec 2011 katika ukumbi wa Terra Kulture, Tiamiyu savage kuanzia saa 2 usiku,  kiingilio kitakuwa N3000 kwa Single na N5000 kwa Double..
Haya wapenzi wa burudani hizi hii inawahusu sana na sasa kazi ni kwenu

No comments:

Post a Comment