Sunday, February 3, 2013

PICHA KUMI ZA JENGO LA PPF TOWER LILIVYONUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO ASUBUHI YA LEO

Jengo la PPF Tower kabla ya kushika moto
Baada ya kushika moto
Magari ya zimamoto eneo la tukio
Maandalizi ya kuzima moto huo yakianza
 
Mmoja kati ya waokoaji kutoka kikosi cha zimamoto

Kazi ikiendelea
Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck Sadick akiwa ameongozana na Kamanda Kova na Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa wakiwasili eneo la tukio
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck Sadick akihojiwa na vyombo mbalimbali vya habari

Kamanda Suleiman Kova nae akifunguka kwa vyombo mbalimbali vya habari


No comments:

Post a Comment