Sunday, February 17, 2013

BAADHI YA PICHA ZINAZOONYESHA OFISI YA WEMA SEPETU

Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu zakibongo, Wema Isaac Sepetu ameonesha picha za kwanza za ofisi ya kampuni yake aliyoifungua na kuipa jina la  Endless Fame Films ambayo anatarajia kuizindua hivi karibuni.

Hizi ni baadhi tu za picha zinazoonyesha sehemu mbalimbali za ofisi hiyo ya kisasa.
Ofisi ya Managing Director mwenyewe
Washing room
Hapa ndipo Editor atakapokuwa anafanyia kazi


Wageni tutakuwa tunasubiri hapa

Ofisi ya Sekretari

Kila la Keri na hongera sana Wema Sepetu mungu azidi kukuongoza katika njia ya mafanikio..

No comments:

Post a Comment