Wednesday, July 18, 2012

HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA

Rais wa zamani wa Afrika kusini ambaye pia ni Rais wa kwanza mweusi kwa Nchi hiyo Mzee Nelson Mandela a.k.a Madiba leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo ametimiza miaka 94 tangu kuzaliwa kwake. Kwa upande wake ataisherehekea siku hii pamoja na Familia yake pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zake wa karibu, wakati huo huo kutokana na heshima aliyonayo nchini humo(Afrika Kusini) shughuli mbalimbali zinaendelea kuandaliwa katika kusherehekea naye kwa pamoja katika siku hii muhimu

No comments:

Post a Comment