Friday, September 21, 2012

TBL YAKABIDHI MABASI KWA SIMBA NA YANGA

Kampuni ya Bia Tz TBL imekabidhi mabasi mawili kwa Timu hasimu za Mpira wa miguu Simba na Yanga kama sehemu ya udhamini kwa ajili ya kurahisisha usafiri kwa Timu hizo mbili.
Makabidhianao rasmi yamefanyika leo katika ofisi za TBL Jijini Dar Es Salaam(Magari hayo kama yanavyojieleza yenyewe hata sihitaji kueleza saaana)

No comments:

Post a Comment