![]() |
| Show ilifanyika Nyumbani Lounge, hapo ndo nikiingia mdada |
![]() |
| Baada ya kufika nikajoin na wadau wengine wakati tukisubiri Show ianze |
![]() |
| Charles baba mwenye kofia naona yuko Busy mwenyewe cjui mambo ya BBM au anawaambia washikaji waje kuangalia Show.. Lol! |
![]() |
| Meneja wa Mashujaa Musica Max anayekata maji na msaidizi wake Khamis |
![]() |
| Kama kawaida show ikaanza kama unavyoona picha yenyewe inajieleza |
![]() |
| Jado FFU Rais mstaafu |
![]() |
| Kikazi zaidi |
![]() |
| Big Boss Isaack Gamba na Salma Dakota kutoka Radio One Stereooo, hapo Lady Hanifa sijui alikuwa wapi |
![]() |
| Wakinogesha mambo, maana bila hawa jamaa kusingekuwa na muziki ingawa hawavumi kama waimbaji wanavyovuma. |
![]() |
| Malkia mwenyewe Lilyan Internet akapanda Stejini, hapo ndo wakati ameitwa kutoka huko alikokuwa amefichwa, baada ya kufika ndo akatengeneza Pozi hilo |
![]() |
| Ikafika zamu ya Ally Akida nae pia akatambulishwa (pichani ni Charles Baba akimtambulisha Ally Akida, mwenye Gitaa) |
![]() |
| Thabit Abdul na mpiga Gita mwenzake wakiwajibika |
![]() |
| Mzuka ukawapanda sasa, yaani ilinogajeee walinifurahisha sanaaa |




















No comments:
Post a Comment